Hatimaye klabu ya yanga imevunja mkataba wake na aliekuwa kocha wao mholanzi Hans van de pluim maarufu Ka babu .Yanga imefikia uamuz huo baada ya kutoridhishwa na matokeo ya timu hyo katika ligi wengine waliotimuliwa kocha msaidizi juma mwambusi,juma pondamali kocha wa makipa na meneja afidhi salehe chanzo kinasema mpaka sasa George Lwandamina kutoka Zambia kashawasili na kusaini kandarasi ya miaka miwili na kufanikiwa kumrejesha mkwasa kama kocha msaidizi ,upande wa kocha wa golikipa ni manyika Peter na meneja ni Sekilojo Chambua awali George Lwandamina alikuwa akiinoa Zesco united ya Zambia
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni